Ticker

6/recent/ticker-posts

Simulizi ya kweli 11_15 NILIFANYA MAPENZI NA MBWA WA MZUNGU AKANITOA MALINDA YOTE...


     *( 11------15)*  Sehemu ya 11

 Tulipoishia....Chausiku kashaingia kwenye nyumba ya mheshimiwa je atafanikiwa kumchoma sindano ya sumu au atafeli???... Songa nayo ... Mlinzi alinifungulia geti nikaingia kama kawaida mwendo wangu Wa mikogo ,ule unaowadatishaga vidume ndiyo niliingia nao. Sikuamini nilichokiona ile nyumba ilizungukwa na walinzi wengi kiasi kwamba mpaka niliogopa nikiwaza na ile kazi ninayoenda kuifanya ndo balaa yani! Wale walinzi walinikodolea macho nadhani walishazoea viswaswadu na vimobitel leo imeingia iPhone 6 wanajamba jamba. Kubabaika kwao kulinipa nguvu sana nikaongeza mikogo huku nyuma nikilitigisha kwa makusudi zigo langu lililotingishika haswa!!!nikawa naenda na kale ka wimbo ka muigizaji nguli wa vichekesho Marehemu King Majuto kwenye ile filamu ya inye ndembendembe. Hamsini hamsini Mia!hamsini hamsini mia! Nilimfata yule mlinzi aliyekuja kunipokea nadhani ndiyo alikuwa mlinzi mkuu. Tukaingia sebuleni tukamkuta mheshimiwa alikuwa ameketi kwenye sofa kubwa la watu wawili.Nilinwona alivyokuwa ananishangaa huku anameza mate kwa uchu wa ngono .Ila wakati yeye ananishangaa mimi nilikuwa nashangaa mazingira ya ile sebule,ilikuwa na uzuri uliopitiliza nikaosha macho Chausiku mimi nikamshukuru alinipa hili kikojoleo maana bila ningefikaje pale mimi?? Muheshimiwa akainuka akaondoka,sikujua ni kwanini ila yule mlinzi akaanza kuniongelesha. "Vua nguo zako kila kitu utaacha hapa" Dahh!! Nilishangaa kumbe kutiana na waziri kuna tabu kiasi hiki jamani? Basi mlinzi nae hakupepesa macho nikaanza kuvua nguo zangu huku amenikazia macho,jamani ulinzi kazi!eti anaangalia navyovua nguo na hatakiwi kunitamani wala kumeza mate!!Moyoni nikajisemea labda siyo Chausiku mimi usipoangalia utanila kabla ya boss wako pumbavu!! Nikavua nikabaki na chupi nikamuuliza , "Nivue na hii",nilimuuliza huku narembua lile jicho langu la kungu. "Vua zote",alijibu kwa sauti ya kuamrisha moyoni nikajisemea "huyu jamaa mgumu ina maana hazioni hizi chuchu zangu zilivyosimama jamani na hiki kitumbo changu kilivyozama ndani na hiki kitovu changu" Basi nikavua nguo zote hadi chupi nikaitupilia mbali.kisha nikafanya makusudi nikageuka alione wowowo langu nikalitingisha likakubali kutingishika tako likalia 'pataaa',kisha nikageuka nikamwangalia nikamwona vile kababaika nikavua cheni na saa yangu nikabaki na pete ndogo sana ambayo ilikuwa ngumu kuiona sababu ilikuwa na rangi kama ngozi yangu. "Tayari",nilimjibu maana niliona ananishangaa nilipoangalia suruali yake ilituna kidogo kwa mbele nikajua tu huyu tako langu halijamwacha salama.Wala nilikuwa sina wazo la kumpa nilitaka ababaike ateseke tu basi!! Alinipa taulo jeupe nikajifunga kisha akanipa ishara ya kidole nimfuate ,nikaanza kupiga hatua nikimfuata mpaka kwenye lifti tukaingia kisha akabonyeza namba tatu ,tulipofika tukatembea kidogo mpaka kwenye mlango mmoja Kati ya mitatu niliyoiona pale akabonyeza namba kisha ukafunguka akaniambia ingia nilipoingia yeye hakuingia mlango ukajifunga!! Hapo ndiyo nilijua Jack Mambo alifanya vizuri kusema nimchome kisha atakufa baada ya siku mbili au tatu.Maana kutoka mule ndani ni mpaka password ningetokaje Chausiku mimi?? Nilivyoingia nilimkuta mheshimiwa yuko kwenye sinki la kuogea ,sikuchelewa Chausiku nikavua taulo nikabaki kama nilivyotoka tumboni mwa Fatuma Majaliwa yule mama muuza vitumbua wa Mbagala.Isipokuwa tu kidoleni nilikuwa na pete itakayotoa uhai wa huyu kiumbe ambaye sikuuliza hata kosa lake mini?na kwanini auwawe ?nilichotaka mimi ni kuuwa tu nipate pesa zangu basi! Waziri aliniangalia nami nikamwangalia si unajua namwonaga kwenye TV tu Chausiku mimi. Nikaanza kumsogelea kwa mwendo wa madaha kama wale wanamitindo wanavyotembea kabla sijamfikia nikasimama nikamgeuzia tako alione nikalitingisha kisha nikawa kama nacheza wimbo wa Wizkid ule unaitwa joro. Kisha nikageuka nikamwona anavyoteseka ,nikajichetua akili maana najua kilichonipeleka mule ndani ni kuua ila kikubwa ni kutiana na waziri !Maana iwe isiwe lazima nitiwe tu!!!(sio kama wale mademu wanaingia ghetto kabisa ila kutoa papa mpaka mlazimishane mimi Chau nikiingia gheto ujue umenila tayari) Nikafika nikaingia kwenye sinki nikamshika waziri mkono wake nikamshikisha chuchu yangu akaanza kuiminya minya.nikapeleka mkono wangu nikaupitisha kwenye maji nikakishika kibamia chake kilichokuwa kimesimama!!kwanza ilinikata stimu mi nmezoea matango pori afu unilishe bamia khaaa!!! Nyege zote ziliniisha!!ila nikakumbuka pale sijaenda kula raha niko kazini basi nikajitahidi aone nmependa kibamia chake. Tukatoka kwenye sinki nikamfuta maji kisha tukapanda kitandani ..nikakishika kibamia nikakimeza nikaanza kukinyonya!!! JE NINI KITAENDELEA CHAUSIKU YUKO NA MHESHIMIWA,ATAFANIKIWA??ITAKUAJE??? #12 Sehemu ya 12 Ilipoishia....Chausiku yuko ndani kwa mheshimiwa Waziri ,na tayari wako tupu kitandani.Nini kinaendelea ... Songa nayo: Tulitoka kuoga tukapanda kitandani nikakishika kibamia cha mheshimiwa Waziri nikakitia mdomoni Chausiku nikikinyonya kama pipi mafua ,maana kilinitia mafua tu nimeshazoea kunyonya mikuki inayochoma mpaka kizazi Sasa hiki kibamia hata kunitekenya hakiwezi . Ulimi wangu ulimfanya mheshimiwa waziri kujikunja kweli!nikazidisha manjonjo Chausiku mtoto wa muokota makopo nikazimeza pumbu za mheshimiwa Waziri nikaanza kuzimumunya kama ubuyu. "Oooh!no baby yes yes aaahhhggh ooh baby" Nilitabasamu moyoni eti mheshimiwa waziri ananiita baby na mvi zote zile kweli uzee mwisho Chalinze daahh!! Niliamua kumuonyesha ufundi mheshimiwa ,japo kibamia chake nikipiga chafya tu kinatoka,ila nilihakikisha namfikisha kileleni. Wakati huo nasubiri wakati muafaka wa kuitumia pete yangu iliyokuwa na sindano ndogo yenye sumu. Wakati namkatia viuno Waziri alianza kuonyesha dalili za kukiona kilele basi nikamwongezea viuno ili amwage,alipokaribia kumwaga tu nami nikautumia muda huo kumdunga sindano yenye sumu kwenye paja lake. Maskini Waziri hata hakunishtukia moyoni nilimuonea huruma maana si muda hatoliona tena hili jua la Dar na vimwana kama sisi hatotugusa tena ,kiufupi kitumbua changu ndiyo cha mwisho kukila kabla hajaiga dunia. "We mtoto mtamu sana ",baada ya kumwaga uji wake alianza kunisifia "Mmhh hata wewe bado humo umenipelekesha mwendo wa basi mmh",nilisema huku nimelaza kichwa changu kifuani kwake mkono wangu ukichezea vinywele vyale vilivyosambaa kifuani bila mpangilio. "Hahahaaaa ng'ombe hazeeki maini na hapo bado nakuvutia kasi nikutie bao lingine kitumbua chako kitamu sana",alijisifu kumbe angejua hata robo kibamia chake hakinikuni yani shombo shombo tu. Tulikaa kama nusu saa na Waziri mpaka kibamia chake kilipovimba tena akanitia bao lingine,kama kawaida nilihakikisha nampa utamu kweli kweli hili hata akifa anikumbuke huko motoni. Tulipomaliza nilitoka nikaenda kuosha kitumbua changu kisha nikarudi nikavaa nguo nikajipamba pamba,Maana niliambiwa kwa Waziri ni kutiwa na kuondoka ukimpagawisha atakuita tena siku nyingine. Waziri alipiga simu kwa mlinzi wake mkuu alimjulisha tayari tushamaliza basi muda huo nimekaa zangu kitandani nishajipamba ukiniona utanitongoza tena hutojua nimetoka kupata viwili vya waziri. "Umeolewa",waziri aliniuliza swali ambalo ni la kipuuzi kweli "Ningeolewa ningekuwa hapa saivi na mume wangu yuko na nani sasa Waziri?" "Hahahaaa!ivi nimeuliza swali la kijinga eeh?tatizo umenichanganya na mahaba yako" "Mmh mbona kawaida tu Mheshimiwa" "Hapana wewe ni kiboko unayaweza ivi unaitwa nani vile?" "Duh!ushanitia ndiyo unaniuliza jina?" "Hahahaaa unajua binti una bahati sana" "Kwanini?" "Wenzako hawapati nafasi ya kuongea na mimi kabisa" "Kwanini mimi?" "Kwa sababu wewe ni mtamu kitumbua chako kina asali" "Hahahahahaaaa",tulipiga stori mbili tatu kisha akanipatia pesa za malipo ya kula kitumbua changu "Hii ni milioni tatu shika",alinipa bahasha iliyokuwa na hela ndani yake. "Zote zangu???",niliuliza kwa mshangao yani milioni tatu!!!bao mbili dah!!! "Zote zako hizo,na sio wote nawalipa hivyo umenifurahisha sana ",aliongea huku anapapasa mapaja yangu. "Ahsante!",muda aliingia basi nikainuka nikampiga busu Waziri huku nimeshika kibunda changu. "Au ulale hapa?",Waziri aliongea nilishituka kweli nilitamani kulala ila tatizo nishamchoma sindano ya sumu ,hapo nawaza je nikilala akizidiwa sijaondoka wakijua hawa walinzi si wataniingilia kinyume na maumbile bila kondomu. Nikabaki njia panda nikubali au nikatae maana nikikubali dau litaongezeka na ninavyopenda hela Chausiku mimi!! JE NINI KITAENDELEA?CHAUSIKU HATIMA YAKE IKO WAPI? #13 Sehemu ya 13 Ilipoishia....Chausiku ameshamchoma sindano Waziri lakini alipokuwa anataka kutoka Waziri akamwomba alale itakuwaje? Songa nayo Nilikuwa kwenye wakati mgumu.Nikisema nikatae wangenitilia mashaka pia ,wangejiulza kwanini nimekataa na wakati kulala na Waziri mpaka asubuhi ningekuwa na uhakika wa kuondoka na milioni kadhaa asubuhi nikiacha hizi tatu nilizopewa kwa shoo ya dakika chache. "Hapana waziri unajua sipo kama unavyonifikiria naishi na mama ni mkali sana",niliongea huku nikijenga sura ya huzuni usoni. "Oooh pole binti ",aliongea huku akionekana kunihurumia sana ,nami nikautumia muda huo kuyatafuta machozi yalipo nikaliminya jicho nikavuta hisia kuwakumbuka ndugu zangu waliotangulia mbele za haki ,nikamkumbuka mama yangu na wadogo zangu walivyokufa kifo kibaya siku ile ya mvua na baba yangu aliyesombwa na maji akitoka kuokota makopo. Machozi yakanitoka Chausiku nikatia huruma kweli.Waziri akasimama na taulo lake akanisogelea kisha akanikumbatia akampa ishara yule mlinzi anipeleke.Moyoni nikasema 'mambo si ndiyo aya' Basi nikapngozana na yule mlinzi akabonyeza kama kawaida kuingiza neno la kufungua ule mlango ,mlango ukafunguka ila kabla hatujatoka Waziri akaniita. "Binti",nikageuka nikakutana na uso wa waziri uliojawa na tabasamu,tabasamu ninalolikumbuka mpaka leo. "Unaitwa nani?",aliniuliza huku akiongeza tabasamu ndipo nikakumbuka sikumwambia jina language. "Chausiku,naitwa Chausiku",nilimjibu kisha nikamkonyeza Waziri nikamalizia na busu la hewani na mkono nikampungia.Hakujua nilikuwa nampa mkono wa kwaheri ya kuonana!kwaheri ya milele!hatoniona tena Chausiku wala hatonigusa labda aje ndotoni nahisi napo ntamkimbia tu maana ntakuwa namwona kama mzimu! Tulitoka na Yule mlinzi tukapanda lifti tukashuka ,tukafika sebuleni nikatupa taulo langu nikabaki kama nilivyozaliwa,nisiwafiche nilikuwa na nyege sana maana Waziri kanichafua tu kanitia nyege halafu kashindwa kuzitoa. Nilivyotupa taulo langu nilitaka angalau huyu mlinzi anipe kimoja ,ila kumwomba siwezi nilitaka ajiongeze lakini naye mgumu kweli haelewi somo. Taratibu nikaishika chupi yangu nikaivaa na mpaka namaliza kuvaa nguo zangu yule mlinzi wala hakunigusa.Nilipomaliza akanisindikiza mpaka nje ya geti ambapo nilishangaa kumkuta Jack Mambo akiwa amepaki gari ananisubiri.Yule mlinzi aliponifikisha nje ya geti akasimama nikasogea mpaka kwenye gari Mambo akanifungulia mlango ,nilipoingia tu yule mlinzi alirudi ndani akafunga geti. "Vipi umefanikisha ?",aliniuliza Mambo punde tu nilipoingia ndani ya gari. "Kwani ulikuwa unanisubiri?",nilimuuliza swali badala ya kujibu swali. "We vipi?nimekuuliza swali jibu swali kuhusu kukusubiri au nini havina umuhimu kwa sasa!",alinifokea Mambo maana hakupenda nilivyopotezea swali lake. "Ndiyo nimemchoma",nilimjibu kwa hasira huku naivua ile pete ya sumu nikamtupia,na mimi sikupenda vile amenifokea.Aliichukua ile pete akaiweka mfukoni kisha wote tukakaa kimya hakuna aliyemuongelesha mwenzake! Moyoni niliumia sana kufokewa nikawa najiuliza yani ananichukuliaje Chausiku mimi au kwa vile yeye msanii?Muda huo nikiwa nawaza kumbe kigauni changu kilivutika kwa juu mapaja yangu meupe yakawa yako nje ,nilipomwangalia nilimwona jinsi alivyokuwa anayaangalia kwa macho ya wizi huku anaendesha gari.Nami nikafanya makusudi nikajibinua kile kigauni kikazidi kupanda juu kiasi mpaka chupi yangu ikaonekana ileee.Nikafumba macho kabisa ili ajue nimelala .Akaupitisha mkono wake mmoja akashika paja langu huku analipapasa nami nikabaki kimya kama sijaskia akapata nguvu zaidi akauleta mkono mpaka kwenye chupi yangu akaanza kushika shika kwa juu akipapasa kitumbua changu. Nilihisi raha ya ajabu maana kama unavyojua Waziri amenigusa gusa tu na kibamia chake hapo nilikuwa na nyege balaa,nikawa naskilizia utamu vile ananisugua na mkono wake kwa juu ya chupi anagusa kitumbua changu ambacho si muda kililoa kikawa tepetepe! Mambo akasimamisha gari ,nami nikafumbua macho nione nini kinafuata.Mambo akakilaza Kiti changu kisha akafunga vioo akawasha AC.Akanisogelea akanivua chupi yangu huku akipandisha kigauni changu kwa juu,nami nikampa ushirikiano nikanyanyua kiuno changu ili chupi itoke bila kipingamizi. Mambo akavua suruali yake na boxer kwa vile kulikua na giza sikuweza kuona vizuri,nikapitisha mkono nikaishika bakora ya Mambo ili niipime ni mashine kweli au kibamia cha Waziri? Bakora ya Mambo ilijaa ikajazika haswa ilikuwa nene na ndefu kiasi nikajiuliza 'hili lote kwenye kitumbua changu jamani?',nikiwa najiuliza Mambo tayari ashanipanua miguu mmoja huku mwingine kule!siunajua kwenye gari hamna mbwembwe nyingi!! Akaushika uboo wake akatema mate akaupaka kichwani kisha nokahisi kitu kizito kinagusa Mashavu ya uchi wangu nikajua moja kwa moja safari imeanza.Taratibu uboo ule ukaanza kuzama kwenye kitumbua changu maana unabana balaa!!Ukaingia wote kisha akaanza kupiga nje ndani jamani Mambo ana mboo tamu sana.Nilikojoa sana siku ile na yeye akapiga bao zake mbili tukawa wepesiiii. "Afadhali maana nilikotoka huko nimeguswa guswa tu",nilimwambia Mambo ambaye sasa alikuwa anaendesha gari kwa kasi . "Umekutana na kipisi eeh",alitania Mambo kisha tukacheka kwa pamoja . "Vipi nikupeleke nyumbani kwenu au tunaenda kwangu?",aliniuliza Mambo "No!nipeleke nyumbani nyie hamueleweki nikakutane na wifi huko anipige akhaaa!",nilikataa ila moyoni nilitaka anibembeleze kidogo si unajua mtoto wa kike kudeka! "Ok sawa ngoja nikuwahishe home",moyoni nilichukia nikatamani bora nisingesema vile maana nishajipotezea bahati ya kulala kwa msanii mkubwa,ila moyoni nilifurahi kanitia japo kwenye gari niliapa ile chupi niliyovaa siku ile sitaifua ntaitunza nije niwaonyeshe wajukuu zangu Alinipeleka mpaka nyumbani Magomeni maana ndiko nilikua naishi na shangazi yangu. ******* Baada ya tukio lile tulisubiri majibu ,yani kifo cha waziri ili pesa iingie.Zilipita siku mbili bila kuskia chochote,siku ya tatu Mambo alikuja nyumbani tukakaa sebuleni kujadili maana mpaka wakati huo hatujaskia chochote kuhusu kifo cha Waziri. "Jamani mpaka sasa hakuna chochote ivi Chau ulimchoma kweli ile sindano",aliniuliza Mambo "Ndiyo nilimchoma kwenye paja jamani hata mimi nashangaa" "Mimi nadhani tusubiri tu sina wasiwasi na Chausiku na imani alifanya kazi yake",alisema Shangazi Tukiwa bado katika hali ya sintofahamu,simu ya Mambo ikaita akapokea akaskiliza kwa makini kisha tukaliona tabasamu alipokata simu tu akaruka kwa furaha. "Yessssss!!Bingooooo!!",wote tulibaki tukimshangaa sana maana hatukujua anashangilia nini mwenzetu! JE MAMBO ANAFURAHIA NINI ?NINI KIMETOKEA? (CHIZI KALOGWA TENA JAMANI HII OFA HAITAWAHI KUTOKEA NI LEO TU SOMA STORY NZIMA MPAKA MWISHO KWA BUKU TU (1000) MWISHO #14 Sehemu ya 14 Ilipoishia....Chausiku na wenzake wanasubiri kifo cha Mheshimiwa Waziri ili pesa iingie ... Songa nayo .. Mambo aliendelea kufurahi haswa!huku akituweka njia panda mimi na Anti Vanessa!! "Jamani!jamani Waziri kafa!!!",ilikuwa ni habari ya furaha sana kwetu,hasa kwangu Chausiku pesa ambayo ningeenda kutengeneza ilikuwa inaenda kutunisha akaunti yangu ,kama unavyojua benki namiliki milioni milioni Mia tatu na hamsini nikijumlisha na hii milioni mia dahh!nilifurahi sana kukutana na Anti Vanessa katika maisha yangu bila yeye hakika ningekuwa nauza vitumbua Mbagala kama mama yangu na kitumbua changu kingeshachakazwa na mboo za wapiga debe!! "Sikieni mzigo unaingia sasa ivi kila mtu apate chake nipeni namba zenu za akaunti nitume atutumie fasta",alisema Mambo kisha tukamtajia namba zetu baada ya saa moja na nusu Meseji zikaingia kwenye simu zetu,zikionyesha tayari kila mtu kashaingiziwa pesa zake! Furaha niliyokuwa nayo hadi nilipata nyege kitumbua kikaloa nikahitaji ukuni unikune haswa!!nikamwangalia Mambo kwa jicho la 'NIPE BASI',bahati mbaya ikawa kwangu Mambo alikuwa busy na simu yake akiangalia pesa nadhani alikuwa ameshaanza kuzipangia matumizi! Nikasimama Anti Vanessa akaniangalia sikumjali nyege zilichukua akili yangu tena ukizingatia nimelimiss kombola la Mambo maana ile siyo bunduki ni kombola ,mboo kama zile nazionaga kwenye filamu za ngono ,nilimsogelea Mambo ambaye alishangaa nishamfikia nikamkalia mapajani ,nikaishika simu yake nikaiweka pembeni!nikamsogelea sikioni nikamnong'oneza! "Show time!",kisha nikampa ulimi akaupokea tukaanza kubadilishana mate ,Mambo alijua kucheza na ulimi wangu sijui ndiyo 'French kiss' mmh!alinipagawisha kwa kweli .Kumbuka nilikua nyumbani ivyo nilikuwa na kanga tu hata chupi sikuvaa huwa sipendi kubana bana kitumbua changu nikiwa nyumbani Mambo alizidi kunipagawisha alipitisha mkono akashika kitumbua changu dole lake la Kati akalizamisha ndani akaanza kuisugua G sport. Hapo nilizidiwa haswa lile jicho langu la kulegea likalegea zaidi. Nikiwa nimekolea na ulimi wa Mambo mdomoni mwangu na kidole chake kikiigusa ipasavyo G sport yangu nilisikia ulimi mwingine ukipita na kuingia ndani ya sikio langu nilihisi raha ya ajabu nikajua Anti Vanessa kashaingilia mechi kwa hiyo utamu tunaugawana! Jack Mambo alionekana kushangaa kitendo cha Anti Vanessa kuingia kwenye mechi yetu akijiuliza 'uwanja gani timu zikacheza tatu?hasijue hii ni gombania goli Mimi na Anti Vanessa hatukuwa na habari tushazoea na ndiyo tabia yetu!Yani uje ndani unitie mimi umwache Anti na nyege nani kasema?au uje umtie Anti uniache na nyege nani kasema?ukija ndani tuna nyege unatutia wote Mambo kweli alitupa mambo!alitutia mpaka visimi vikawaka moto .Mpaka game ilipoisha tayari kila mtu aliridhika na dozi! "Mambo kumbe siyo kuimba tu hadi kipaji cha kutafuna vitumbua unacho",alisema Anti huku anaishika bakora ya Mambo ambayo licha ya kutoa dozi ya maana bado ilikuwa imara. "Hahahaaaa!",tulicheka wote . Stori ziliendelea mwisho nikaingia jikoni nikapika tukala kisha Mambo akaondoka. ****** Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa dili nyingi na Mambo ,dili za mauaji tuliua kwa pesa na kweli iliingia haswa !Na muuaji mkubwa nilikuwa mimi ,nikitumiwa kuwateka na wengine kuwaua kwa mkono wangu. Mambo alinikutanisha na watu wakubwa zaidi ambao ndiyo mabosi wake waliokuwa wanampa hizo kazi za mauaji. Akaunti yangu sasa ikasoma bilioni moja na milioni kadhaa!Kama unavyojua pesa haiishi utamu nikatamani kuua ili akaunti yangu izidi kunona.Niliipenda pesa kuliko chochote Chausiku mimi.Ikawa dili zikichelewa nampigia simu Mambo! "Nambie mwanangu",nilimpigia Mambo "Fresh vipi uko poa LADY KILLER",alinijibu Mambo huku akiniita jina ambalo nilipewa kutokana na kwamba sijawahi kufeli tangu nianze hiki kibarua cha kuua kwa pesa! "Safi vipi mbona kimya nina hamu ya kunywa damu ya mtu",usishangae mimi kuongea hivi niligeuka mnyama tena mnyama haswa kuna muda nilikuwa najiuliza "AU MIMI NDIYO SHETANI?MBONA NINA ROHO NGUMU KIASI HIKI!!".Chausiku niligeuka mnyama ! "Sijapokea dili mimi mwenyewe sijapiga shoo wiki ya pili sina hela mabosi nao hawatoi kazi",alilalamika Mambo ambaye hela alijua kuzitumia haswa ,Mambo kutumia milioni tano kwa siku siyo shida sababu anaingiza hela kupitia muziki na dili zingine! "Wewe ni fala sana Mambo hauna hela wakati juzi tu tumepiga milioni Mia mbili?",nilishangaa sana Mambo alikuwa na matumizi mabaya sana. "Sikia usinipangie kutumia sababu najua kuzitafuta pia",alinijibu kama kamaindi "Basi poa ukipata dili nishitue" "Halafu siku hizi unajikuta komando hunipi hicho kitumbua kabisa wewe na Anti yako" "Hahahaaa njoo basi ututie tuna hamu kichizi" "Poa nakuja" Hayo ndiyo yalikuwa maisha yetu mpaka wakati huo Chausiku nilikuwa sijawahi kupenda kabisa ,nikiskia kunawasha nampa Mambo au Mangi mtata ananitoa nyege basi maisha yanaendelea. JE NINI KITAENDELEA CHAUSIKU ATAPATA TENA DILI?NA VIPI KUHUSU KUPENDA? #15 Sehemu ya 15 Ilipoishia.... Chausiku kashakuwa muuaji rasmi anaua kwa ajili ya pesa.... Songa nayo.... Siku moja nikiwa zangu nyumbani nimekaa sina hili wala lile Mambo alinipigia simu nikajua tayari anataka kunipa dili. "Lady killer",aliniita kwa jina langu la kazi punde tu nilipopokea simu. "Nambie msanii" "Fresh sasa sikia kuna dili wangu ila uje kwangu kabisa" "Daah!tangu lini ukanipa dili kwako sema tu una hamu unataka kunitia mi niko period we mbuzi" "Sikia niko serious hii inshu kubwa halafu nakuunganisha sababu ninakuamini" "Dili gani?mwanangu we sema tu kama kuua nipe ramani nikamalize kazi" "Unazingua njoo home saivi hutaki sema" "Nakuja sema nini usiniletee habari za kutiana sina mood",nilimaliza nikajiandaa nikavaa nilichoona kinanipendeza kisha nikatoka sebuleni nikamkuta Anti. "Eeh!shoga unaenda kukidangisha wapi icho kikojoleo" "Hahahaaa!" "Nambie bhana kuna bia huko" "Hamna njaa tu shoga yangu baadae" Nilitoka nikaangalia gari inayonifaa nikachukua BMW moja kali sana.Nikaanza safari kuelekea kwa Jack Mambo ambaye anaishi Msasani .Haikunichukua muda sana nikafika mlinzi akanifungulia geti nikaingia. Ukiwa mgeni hakika utashangaa mazingira ya nyumba ya Jack Mambo,ila mimi sio mgeni nishafika pale mara kibao japokuwa kila nikienda pale nilikuwa naenda kuchezea bakora yake sio kazi,sio kama nilimpenda la hasha!nilipenda uboo wake tu ulikuwa unanifikisha napotaka!Hata yeye hakunipenda alipenda kitumbua changu na vile navyojua kutumia kiuno changu! Mambo alikuwa kijana anaejipenda sana si kimavazi tu hata kimaisha mazingira anayoishi labda pengine sababu ni msanii. "Karibu naona umeamua kupendeza unitingishe tingishe niombe kimoja eeh" "Mambo usiniambie hizo habari leo siko huko kabisa unanijua nikiwaga na hamu nakutafuta mwenyewe",nilimwambia huku naingia ndani nikakaa sebuleni kwenye kochi la mtu mmoja ili hasiniletee mambo ya ajabu sikuwa na mood kabisa! "Haah!nakuzingua bhana mi siwezi kukufanyia ivo kwanza nakuogopa Lady Killer usije ukaninanii ushakua mafia" "Ndiyo ivyo nipe mchongo mwanangu" "Sikia hili dili la maana kichizi mwanangu",aliongea huku anakaa kwenye sofa. "Nipe nipe siunajua napenda deals za maana",niliongea nikiongeza umakini kumskiliza. "Hii inshu iko tight sana ila najua wewe unaiweza ,nimeshafanya kazi na wewe mwaka mzima so nishakusoma usiniangushe" "Siwezi kukuangusha mwanangu nipe dili" "Hii inshu ni ya siri pia kama zile tunazopiga halafu zinahitaji ujasiri",alizidi kuongea Mambo nikamkatisha. "Sikia mi naona unazunguka sana mshikaji,kwani tangu tuanze kazi kuna haja ya kunifanyia usahili?" "Sio ivyo tatizo ushakuwa mtemi sana unajua sometimes nakuwa nakuogopa" "Poa nipe hiyo dili" "Poa",alinijibu kisha akaingia chumbani kwake kisha akarudi akiwa na begi akanitupia kisha akaniambia, "Fungua!",akakaa kwenye kiti akashika simu yake akaanza kuchezea. Nilidaka lile begi kisha nikafungua nione kilichomo ndani,nilipofungua sikuamini japo naonaga kwenye filamu tu za kimafia na tangu nizaliwe sijawahi kuona live ila ilitosha kujua kuwa ule ni unga,madawa ya kulevya! "Unga!!!!",nilisema kwa sauti ya chini nikionyesha wazi kushangazwa na lile jambo !nikamwangalia Mambo alikuwa busy na simu yake . "Mambo hizi si dawa hizi",nilimuuliza Mambo kwa sauti ya chini "Ndio!za kulevya",alinijibu akinikazia macho. Katika stori nilizowahi kuzisikia kuhusu wauzaji wa unga walivyo na pesa ndefu,kwa hiyo hapo ikapita sauti ambayo sikujua ni ya shetani au nani ila niliskia ikiniambia,"CHAU PESA HIZO PESA HIZO UNATAKA KUJA KUUZA VITUMBUA KAMA MAMA YAKO AU KUOKOTA MAKOPO KAMA BABA YAKO MPEMBA,CHANGAMKAAA?". Sauti ile hata haikunipa muda wa kutafakari kila nikitaka kuwaza inakuja picha ya mama na wadogo zangu pamoja na baba pia,waliokufa maji miaka kadhaa iliyopita.Moyoni sikutaka kutafakari maana ni kweli nahitaji pesa sihitaji kuishi maisha yale wala watoto wangu waje waishi maisha kama yale tena. "Vipi huu mzigo naupeleka wapi na malipo yake ni shingapi?",nilimuuliza Mambo ambaye alishangaa sana akaiweka simu yake pembeni akaniangalia. "Chau are you serious?",aliniuliza akiwa haamini kabisa maana sijakataa nimekubali moja kwa moja. "Niko serious Mambo kwangu pesa ni kila kitu,kwa ajili ya pesa nitafanya chochote!" "Unajua mpaka nakuogopa sijawahi kuleta kazi ukaikataa hata iwe ngumu kiasi gani",alisema Mambo "We need money to survive ,money is everything!"( tunahitaji pesa kuishi.pesa ni kila kitu) "Dah!sijawahi kukutana na mwanamke jasiri kama wewe uko tayari kufanya chochote kwa ajili pesa" "Vipi tunapeleka wapi hii sembe?",nilimuuliza baada ya kumuona anaongea sana,akakaa kimya kisha akaanza kunipa mchongo. JE HIZO DAWA ZINAENDA WAPI?NA JE WATAFANIKISHA ? Like share comment
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();