Ticker

6/recent/ticker-posts

SIRI YAFICHUKA HUKO KITANGA LIMBWATA YA KUMSHIKA MWANAUME

Bonyeza hapa Download App ya MAHABA
( Limbwata ) 

Kwa nini baadhi ya wadada wanatafuta limbwata na madawa ya kuushika moyo Wa Mume wako na limbwata unayo wewe mwenyeo? 

Limbwata ya kwanza:-

JICHO LAKO

Unapomuangalia mumeo lainisha jicho liwe laini na mkiongea muangalie machoni na pa kurembua urembue

SAUTI YAKO

Ongea na mumeo kwa sauti ya upole ya kubembeleza,sauti nyororo,usiwe mropokaji hakikisha kua unaweka sauti special kwa ajili yake.

MAVAZI YAKO

Unapokua na mumeo faragha Usivae madera na majuba , Vaa mavazi ya kimtego mtego , full kujiachia , Vimini ama jifunge kanga ama mtandio mwepesi au Vaa Nguo za Kulalia ( Night Dress ) - Inatosha sana Kumleta Karibu Kimahaba na akikubeep tu Mpigie.

UBUNIFU WAKO

Ubunifu kwenye mapenzi ni limbwata ya aina yake , Usifanye mazoea kwenye suala hili kila siku buni mbinu mpya, Usione tabu kusoma makala za wanasaikolojia ya mapenzi na Muda Mwingine hata  kumuuliza Mwenzako anatakaje .Bonyeza hapa Download App ya MAHABA

USAFI WAKO

Mara zote napenda kusisitiza juu ya hili  - Usafi Wa chumba , Nyumba na mwili wako , hakikisha unakua msafi mda wote kwani huwezi kujua mda gani atakuhitaji. 

MANUKATO NA MAPAMBO

Unaponukia unamfanya mumeo asogee karibu yako - Jihadhari Usinuke Maana manukato mengine yanakera Usimlazimishe Mwenzako hata  kama wewe unayapenda na hakikisha kila kiungo kimevaliwa pambo lake stahiki. 

MANENO MATAMU NA BASHASHA

Wadada hakuna mwanaume anaependa gubu - acha tabia ya kununa nuna ovyo na Kuropoka ropoka mambo bila kupima uzito wake , neno NAKUPENDA MUME WANGU litamke kila Mara na mkumbatie bila sababu maalum - Kukumbatiana kunajenga mapenzi , Urafiki na kunaondosha hasira Usizozijuwa Pamoja na tofauti baina yenu .

MAPOKEZI MAZURI NA KUMUAGA VIZURI

Jenga mazoea ya kumuaga kwa  kukumbatiana na mabusu na uwe unamsindikiza , kumuombea dua na mpokee kwa bashasha na kumpa pole ya machofu anaporudi kutoka kazini. 

KULA NAE NA KOGA NAE

Bonyeza hapa Download App ya MAHABA

Kukoga pamoja ni sunna kubwa  sana tusiiwache na pendelea kula pamoja  na kulishana kila siku.

Ukaribu wako kwake ndio limbwata itayomfanya akukumbuke popote atapokua ukijumlisha na msg za mapenzi Mara kwa Mara,hakuna mkate mgumu mbele ya supu.

        💓 NYONGEZA 💓 

Hakikisha TV au Redio  yako haijiongelei tu inavyotaka Vingine Vinaongeza Stress Badala ya Kupunguza - Wakati Wewe Unahangaika Kumuweka Sawa Mumeo , Hakikisha Nyumbani Kwako Una nyimbo Mahususi Kwa ajili ya Kumliwaza Mwenza Wako na Video - na Ukigundua hazipendi Usigombane naye Mbembeleze Kiutu Uzima Kwa Kuwa Nazi siku  zote huwa haishidi Jiwe.


UKIYAPENDA YAFANYIE KAZI

Bonyeza hapa Download App ya MAHABA

Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();