Ticker

6/recent/ticker-posts

MAPENZI NI PASUA KICHWA JE WEWE UTAFAULU?

Bonyeza hapa Download App ya MAHABA
 Mapenzi ni kama viatu, unaweza kumuona mtu kavaa kiatu chake kimempendeza na kinaendana kabisa na mguu wake, ukatamani kabisa kuwa na kiatu kama kile lakini ghafla lakini ukaona kakiacha kakivua kakiweka pembeni, ukashangaa jamani mbona kiatu chake kizuri namna hiyo.

Hii ni kwasababu hujakivaa wewe, mara nyingi ndoa au mahusiano yanapovunjika wanaolaumiwa ni wanawake. Tena hasa kama wakiachana na watu ambao ni ma handsome, wana pesa na usoni wanaonekana ni wastaarabu, mbele ya jamii wale ambao huonekana kama vile wanajali.

🤑Fursa Fursaaa🤑 *Bonyeza hapa Ujisajiri Uweze kupata Tsh:135,000 kwa siku kwa Kiingilio cha Tsh:13,000*Ukijisajiri njoo Inbox whatsapp +255759416497 nikwelekeze utakavyo tengeneza na kutoa kwenda M-Pesa Tigo Pesa na Airter money*

Utasikia huyu dada sijui hata anahangaika nini? Yaani kamuacha Kaka wawatu mstaarabu na hela zake kaenda kutafuta yule hohehahe anahangaika na maisha. Hii ni kwasababu mwanaume ni kiatu, huwezi kujua kama kina bana, kama kina mwiba au kama kinaumiza mpaka ukivae wewe.

Wanadamu wanaona yale ambayo yapo dhahiri yale ya mchana nnje ya kuta za nyumba, lakini hawayaoni yale ya usiku. Lakini wanawake ni wasiri sana, wanavaa tabasamu juu ya shati la moto, wanavumilia mengi lakini nao wakichoka basi huamua kuvua viatu.

Bonyeza hapa Download App ya MAHABA

Hivyo kabla ya kumhukumu mtu kwa kuvua kiatu chake ambacho kinaonekana ni kizuri  hembu kivae wewe kwanza ndiyo utajua maumivu yake. Ndiyo najua kuna wanawake vichomi lakini matatizo mengi kaika ndoa husababishwa na wanaume ambao wameshindwa kuwa wanaume katika ndoa zao.

Kama bado hujapata App ya blog hii Download hapo chini 👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();