Ticker

6/recent/ticker-posts

JINSI YA KUMROGA MUME WAKO AKUPENDE DAIMA HATA UKIWA MBALI AKUKUMBUKE KILA MUDA


JINSI YA KUMROGA MUME WAKO AKUPENDE DAIMA HATA UKIWA MBALI AKUKUMBUKE KILA MUDA

Chukua Dawa inaitwa *UPENDO WA DHATI* kwake.

Changanya na Dawa inaitwa *UNYENYEKEVU NA UPOLE* juu yake.

Changanya na Mizizi ya Mti unaitwa *KUTOPANDISHA SAUTI* ukiwa unazungumza nae Zungumza kwa Upole.

Hakikisha Unapata na Unga wa Mti unaitwa_ *KUMFARIJI NA KUMPA MOYO ANAPOKUWA NA MITIHANI na MISUKOSUKO* kamwe Usipende kumpa Lawama.

Usisahau kuchanganya na Dawa ya magome ya mti wa *KUMPONGEZA ANAPOFANYA JAMBO ZURI*.

Chukua na Mizizi inaitwa *KUMSHAURI MAMBO YA MAENDELEO YA KIMAISHA*

Changanya na Dawa inaitwa *USAFI, MAPISHI MAZURI NA MAHABA MATAMU CHUMBANI*.

Chukua na Dawa nyingine inaitwa  *KUWAPENDA NDUGU NA JAMAA ZAKE*.

Chukua hizo Dawa zote zichanganya kwenye Glass ya Maji ya UKARIMU kisha Mpatie Mume wako  Hakika atakupenda Daima

Mwisho wa makala  asante kwa kusoma mpaka mwisho wa story yetu karibu kwa maswali maoni na ushauri ikiwa una tangazo unahitaji tukutangazie Humu pia

*BADILI MAISHA*

*Ukitaka kufahamu njia ya kutengeneza Dora 100  mtandaoni kwa mtaji wa Sh:35,000 njoo inbox nikupe huo mchongo*Whatsapp 

kama bado huna App ya MAHABA tafadhali Download kuendelea kupata masomo yetu👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();