Ticker

6/recent/ticker-posts

ZIFAHAMU FAIDA NA UMUHIMU WA SHANGA KIUNONI KWENYE MAPENZI


 ZIFAHAMU FAIDA NA UMUHIMU WA SHANGA KIUNONI KWENYE MAPENZI

Zifuatazo ni sababu,umuhimu na jinsi ya kuzitumia shanga za kiunoni wakati wa wa tendo la ndoa;

1.UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO KWA MUMEO.

Kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza na kuongezeka mvuto, hivyo shanga ni niongoni mwa pambo unalopaswa kujipamba nalo kwa ajili ya mumeo tu.

2. HUFANYA KIUNO CHA MWANAMKE KIONEKANE VIZURI PINDI ANAPOKATIKA MUMEWE.

Naam, hapo ni wewe na mumeo chumbani. Hata  kama mke si mtaalam wa kukata kiuno lakini kutokana na usaidizi wa shanga hizo kiunoni utaonekana mtaalam machoni mwa mumeo.

Download Apps kupata mautamu

3.UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU MUMEO YA KUPATA RAHA NA UTAMU.

kutokana na utafiti ni kwamba, asilimia kubwa ya waume wanapoona kiuno kimevaliswa shanga hujawa na hamu ya tendo la ndoa, hivyo ukimvalia mumeo shanga huenda ikawa sababu mojawako ya kumpa hisia za tendo la ndoa

4.UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUJIONGEZEA RAHA WEWE MWENYEWE(MWANAMKE) WAKATI WA KUPEANA RAHA NA UTAMU.

Shanga humuongezea mwanamke raha na utamu pale mumewe anapozishika na kuzichezeachezea  wakati wa tendo la ndoa kama style mnayotumia inaruhusu.

Mwisho wa makala  asante kwa kusoma mpaka mwisho wa story yetu karibu kwa maswali maoni na ushauri ikiwa una tangazo unahitaji tukutangazie Humu pia

*BADILI MAISHA*

*Ukitaka kufahamu njia ya kutengeneza Dora 100  mtandaoni kwa mtaji wa Sh:35,000 njoo inbox nikupe huo mchongo*Whatsapp 

kama bado huna App ya MAHABA tafadhali Download kuendelea kupata masomo yetu👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();