Ticker

6/recent/ticker-posts

FAHAMU DAWA YA MUME/MKE MWENYE GUBU💯

 


KWA DUNIA TULIYOPO HAKUNA HAKIKA YA MTU KUWA NA MTU AMBAYE NDO KWANZA YEYE YUPO PEKE YAKE💯


Unaweza kujiuliza maswali mengi katika hili, lakini fahamu jambo moja;- 

👉 MAPENZI IMANI. 

Ili mapenzi yakose maana ni pindi IMANI inapokuwa imetoweka, kila mtu awe mwanamke ama mwanaume anahitaji kuwa na UHUSIANO IMARA💕

Lakini lipo tatizo wengi hatujalijua, nalo ni;- 

👉 KUAMINISHWA UPO PEKE YAKO. 

Bila kujua kwamba MAPENZI MENGI YANAJENGWA KWA FARAJA ZAIDI YA UHALISIA🤦‍♂️

Kwamba mtu anatoka alikotoka huku akiwa amejawa MAUMIVU baada ya kile alitarajia kukosekana, na anakuambia kuwa na UPENDO WA DHATI JUU YAKO huku ndani ya moyo wake bado kabeba mtu mwingine japo akitesekea FARAJA kwako. 

Unataka kujua kwamba HAKUNA MTU AMBAYE NI SPECIAL zaidi kinacho yabeba mapenzi ni imani, fahamu hili;-

Download Apps hii upate burudani ya   kutazama video bure

👉 KILA UNAYE KUTANA NAE UJUE KAACHWA NA MTU. 

👉 KUNA MTU ANATOKA NA ULIYEMUACHA. 

👉 ULIYEMUACHA ANAPATA ALIYEACHWA. 

Sasa nafikiri umepata maana yangu na itakusaidia kutafuta wako mmoja na mkapendana na kujenga DHAMANA YA UPENDO ambao utawapeleka mbali, bila kuangalia KATOKA WAPI NA YEYE KUTOANGALIA UMETOKA WAPI 🤷‍♂️

Mapenzi ya kweli hayana sheria kwani ni MAPOKEO YA NAFSI 📍

Mwisho wa makala  asante kwa kusoma mpaka mwisho wa somo letu karibu kwa maswali maoni na ushauri ikiwa una tangazo unahitaji tukutangazie Humu pia

*Fahamu jinsi ya kuwa milionea  Kwa mtaji wa Tsh:200,000 kupitia smartphone  njoo Inbox niku unganishe

kama bado huna App ya MAHABA tafadhali Download kuendelea kupata masomo yetu👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();