Ticker

6/recent/ticker-posts

NINI CHANZO CHA MAHUSIANO NA NDOA KUKOSA MVUTO KAMA ILIVYOKUWA MWANZO🤔

 


NINI CHANZO CHA MAHUSIANO NA NDOA KUKOSA MVUTO KAMA ILIVYOKUWA MWANZO🤔

Kwanza ifahamike wazi;-

👉🏼 KINACHO IMARISHA MAPENZI NI FURAHA NA AMANI 💯

Kama hivyo vitu vikitoweka wala husumbuki kutafuta chanzo cha mabadiliko ya mwenza wako, Mahusiano ama ndoa yeyote hakuna mtu anafuata TENDO LA NDOA peke yake, Maana hata tendo la ndoa linachangizwa na AMANI PAMOJA NA FURAHA na tayari hivyo viwili vimekuwa bidhaa adhimu kwa vyovyote vile NURU YA PENZI HILO LAZIMA ITOWEKE📍

Asilimia kubwa ya wapenzi wa leo ni kutofautiana UMUHIMU WA PENZI HUSIKA kwani kuna wanaodhani unapokuwa na mahusiano ama ndoa ni kupata msaidizi wa mambo ya kuongeleka  badala ya ile maana halisi kwamba;-

👉🏼 MAHUSIANO AMA NDOA NI CHAGUO LA NAFSI PAMOJA NA MOYO💯

Na kwa mahusiano pamoja na ndoa zitikanazo na NAFSI pamoja na MOYO huwa zinajiendesha kwa HISIA.

Download Apps hii upate burudani ya   kutazama video bure

Tofauti na mahusiano/ndoa zinazojengwa na VITU, NGONO pamoja na MUONEKANO wa mtu, Maana vyote hivyo hupungua kama sio kutoweka kabisa💯

Ukimpenda Mtu na kumpa THAMANI yake kama Mtu muhimu maishani mwako niamini utakuwa Kwenye hakika ya BAADAYE "future"

Wengi tunapenda mambo ya kufariji ili tusiumie, Wakati ili upate kitu Kizuri lazima ukubari MAHANGAIKO ukihangaikia hicho Kizuri😂

Maana ya MAPENZI ni pamoja na FAIDA kupitia mtu wako, mfano:-

👉 TANGU UMEKUWA NAE KUNA HATUA UNAPIGA KWENDA MBELE IWE KWA MAOMBI, NYOTA, USHIRIKIANO KATIKA KINACHO KUENDELEZA📍

Kinyume chake uko na mtu hata kama anakupa penzi tamu lakini ukijitazama Kabla hujawa nae na Sasa unajiona umeporomoka kuanzia NURU YA USO mpaka mwili umekwisha bado unatafuta waganga wakupigie ramli kwanini uko na hali hiyooooo 🕺

Mwisho wa makala  asante kwa kusoma mpaka mwisho wa somo letu karibu kwa maswali maoni na ushauri ikiwa una tangazo unahitaji tukutangazie Humu pia

*Fahamu jinsi ya kuwa milionea  Kwa mtaji wa Tsh:200,000 kupitia smartphone  njoo inbox nikupe huo

kama bado huna App ya MAHABA tafadhali Download kuendelea kupata masomo yetu👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();