Ticker

6/recent/ticker-posts

JE UNALIJUA JUKUMU LAKO KWENYE MAHUSIANO/NDOA YAKO🤷‍♂️

 


JE UNALIJUA JUKUMU LAKO KWENYE MAHUSIANO/NDOA YAKO🤷‍♂️


Kumekuwa na mahusiano na ndoa nyingi watu hawajui jukumu lao hasa ni lipi kwa wenza wao, Muda mwingine uvunjifu wa PENZI husababishwa na mtu kutojua jukumu lake, na hilo ndilo linaacha nyufa Kwenye MAPENZI 🤔

Uko na mtu lakini kama alijua jukumu lake ni mwanzoni mnaanza, baadaye wala asishughurike na kile alijua ndicho kinacho imarisha UPENDO wako kwake, Kwenye MAPENZI kama hujui jukumu lako kwa mwenza wako niamini kama hujasababisha USALITI basi utavunja kabisa UHUSIANO AMA NDOA yako, Kwa sababu kinachovutia MTU ni kile aliamini wewe ndiye uwezaye kumpatia, na kama unajiona wewe ni zaidi ya wengine basi endelea kujiona CAKE 🎂 ili wakati ukifika umtafute ELISTA akupe ushauri ikiwa wewe mwenyewe ulishindwa kusoma alama za nyakati🌈

Download Apps hii upate burudani ya   kutazama video bure

Kama huwezi kujua jukumu lako Kwenye MAHUSIANO AMA NDOA basi wewe ni mtu wa ajabu Sana, Na inawezekana ukaendelea kulalamika huna bahati ya kupendwa na kumbe wewe ni MENEJA WA MAPENZI Yaani ukipendwa na kupewa nafasi kubwa una RELAX😂😂

Mwanangu Kwenye MAPENZI ni kutwa na Usiku unakukuruka, Yaani ni kama sisimizi kila ilipo SUKARI nawe upoooo, Vinginevyo hutaona Mtu sahihi, Maana wewe hujui JUKUMU lako Kwenye MAHUSIANO AMA NDOA YAKO💯

Mwisho wa makala  asante kwa kusoma mpaka mwisho wa somo letu karibu kwa maswali maoni na ushauri ikiwa una tangazo unahitaji tukutangazie Humu pia

*Fahamu jinsi ya kuwa milionea  Kwa mtaji wa Tsh:200,000 kupitia smartphone  njoo inbox nikupe huo

kama bado huna App ya MAHABA tafadhali Download kuendelea kupata masomo yetu👇
Reactions

Chapisha Maoni

0 Maoni

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();